Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisiwa, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI KISIWA Nyumba nzuri inauzwa eneo la Kigamboni Kisiwa, ipo sehemu tulivu na salama kwa makazi ya familia. Sifa za Nyumba: * Vyumba 4 (2 Master) * Sebule * Jiko * Eneo la ukubwa: Sqm 500 * Ina nafasi ya fremu (biashara) nje Faida za Ziada: * Inaingiza kipato cha Tsh 150,000 kwa mwezi kupitia fremu * Ipo mita 300 tu kutoka barabara kuu ya lami * Mazingira mazuri, tulivu na salama Bei: Tsh Milioni 85 (maongezi yapo kidogo) Karibu sana kuja kuona nyumba hii – ni fursa nzuri ya makazi na uwekezaji kwa wakati mmoja. #trending #videos #tanzania #istagram #realestateinvestment















