Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam (600 sqm)

video thumbnail
Sh. 450,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Ukubwa

600 SQM

Huduma na Sifa

Air Conditioning
Chumba cha Msaidizi
Hati
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

๐Ÿก GOROFA LA KIFAHARI LINAUZWA โ€“ KIGAMBONI KISOTA

Unatafuta nyumba ya kisasa, yenye hadhi na eneo zuri? Hii hapa fursa adhimu kwako!

โœจ Sifa za Nyumba:
โ€ข ๐Ÿ›๏ธ Vyumba 4 โ€“ vyote Master
โ€ข โ„๏ธ Full AC nyumba nzima
โ€ข ๐Ÿ  Boys Quarter (Boyโ€™s Contena)
โ€ข ๐Ÿ“ Ukubwa wa eneo: SQM 600
โ€ข ๐Ÿ“„ Hati ya Wizara (Title Deed)
โ€ข ๐Ÿš— Imegusa moja kwa moja barabara ya lami
โ€ข ๐ŸŒด Ipo kwenye mtaa wa kishua sana (mazingira ya hadhi ya juu)

๐Ÿ’ฐ Bei: Milioni 450 (Mazungumzo yapo kidogo)

๐Ÿ“ž Wasiliana sasa: 0769554221

#trending #videos #istagram #tanzania #realestateforsale