Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Toangoma, Dar Es Salaam (700 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
HOUSE YA KIFAHARI INAUZWA β KIGAMBONI TOANGOMA Unatafuta nyumba ya ndoto karibu na bahari? Hii hapa fursa adimu! π Ipo Kigamboni Toangoma π£οΈ KILLOMETER 1 kutoka Barabarani π Ukubwa wa eneo: SQM 700 Sifa za Nyumba: * Vyumba 4 (3 Master) * Sebule kubwa na sehemu ya dining * Jiko la kisasa * Swimming pool πββοΈ * Full AC nyumba nzima π Hati: Hati halali ya Wizara (Title Deed) π° Bei: Milioni 160 (mazungumzo yapo) Karibu sana kuona hii nyumba ya kifahari iliyo karibu na bahari β inafaa kwa makazi au uwekezaji! π0769-554-221 #trending #video #istagram #tanzania #realestateagent















