Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kiharaka/Mingoi, Dar es Salaam (800 sqm)

video thumbnail
Sh. 150,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Ukubwa

800 SQM

Barabara ya Karibu

400m — Bagamoyo Rd

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara

Maelezo

IMESHUSHWA-BEI, SASA TSHS.150 MILIONI, KIHARAKA/MINGOI.

NYUMBA INA HATI (Title Deed) ya Wizara

Ipo Mita 400 kutoka Bagamoyo Rd.
Kituo kinachofuata baada ya Daraja la Bunju-B ukielekea Bagamoyo.

Kiwanja SQM.800

Vyumba 4 (Masta 1)

WAHI WAHI WAHI, USIJUTI BAADAE
___________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe Mnunuzi)

Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.

+255714591548.

____________jKG

Ukihitaji kuikagua taarifa mapema tafadhali.