Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Zakhem, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA ā MBAGALA ZAKHEM, KIBONDEMAJI B š”
š° Bei: TSh Milioni 120 (Mazungumzo yapo)
Unatafuta nyumba ya kisasa yenye nafasi kubwa na mazingira mazuri? Hii ndiyo fursa yako!
⨠Sifa za Nyumba:
ā
Vyumba 4 vya kulala
ā
Vyumba 2 Master Bedroom
ā
Sitting Room kubwa
ā
Dining Room
ā
Jiko la kisasa
ā
Umeme na maji ya uhakika
ā
Fensi ya waya kuzunguka eneo lote
ā
Eneo kubwa la parking ā linaweza kuingiza magari madogo 3
š Mahali: Mbagala Zakhem, Mtaa wa Kibondemaji B
Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba nzuri kwa bei nafuu.
š Kwa maelezo zaidi na kuangalia nyumba, piga simu:
0683 665504















