Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mikocheni, Dar Es Salaam (858 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ GHOROFA INAUZWA β MIKOCHENI, DAR ES SALAAM
π Eneo la Mikocheni
π£οΈ Plot inagusa barabara mbili upande wa mbele
π£Na upande wa nyuma
π Ukubwa wa kiwanja: SQM 858
π Hati safi ya Wizara
π SIFA ZA NYUMBA
β
Vyumba 4 vya kulala
β
Vyumba 3 vya Master
β
Sebule 2 kubwa
β
Jiko kubwa
β
Dining
β
Public Toilet
π° Bei: TSh Bilioni 1.1 (Bei ya kuuza)
KWENDA KUONA TSH 30,000
CONTACT
π Fursa kubwa ya uwekezaji:π΅ Ukimalizia nyumba unaweza kuipangisha hadi USD 2,500 kwa mweziπ’ Sehemu iliyobaki inafaa kujenga apartments 10+ na kuongeza mapato zaidiπ Eneo la hadhi kubwa lenye mahitaji makubwa ya upangishaji
β‘ Wahi kuiona na kuichukua kabla haijapata mnunuzi mwingine!
π Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga muda wa kwenda kuiona.
#0689138795whatsapp
#0758998074π















