Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Pugu Kona, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
3m
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA VYUMBA 4,TSHS.35 MILIONI,PUGU KONA.
Hii nyumba inahitaji Maboresho ama kujenga yakisasa zaidi.
Ni nyumba ya Tatu kutoka Barabara ya Lami.
Kiwanja SQM. 500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Huduma za Umeme na Maji zipo.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________tP















