Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata Chang’ombe Mwisho, Dar Es Salaam (755 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
755 SQM
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – TABATA CHANG’OMBE MWISHO, DAR ES SALAAM 🇹🇿
💰 Bei: TSh 270,000,000 (Mazungumzo yapo kwa mteja serious.)
📐 Ukubwa wa Kiwanja: 755 SQM
📜 Hati Miliki (Title Deed) – Ipo Tayari ✅
📍 Location: Tabata Chang’ombe Mwisho, Dar es Salaam
🚗 Umbali: Dakika 2 tu kutoka Barabara Kuu.
🏠 Sifa za Nyumba
✅ Vyumba 4 vya kulala
✅ Chumba 1 Master
✅ Sebule kubwa
✅ Dining Room
✅ Full Air Conditioning (A/C)
✅ Jiko la kisasa lenye makabati
✅ Jiko la nje lenye makabati
✅ Stoo
✅ Public Toilet
✅ Ceiling Fans
✅ Eneo kubwa la maegesho ya magari
✅ Uzio wa kisasa
✅ Paving Blocks
💧 Huduma Zinazopatikana
✔️ Maji ya DAWASCO saa 24
✔️ Kisima cha maji
✔️ Tanki la kuhifadhi maji
✔️ Umeme wa kujitegemea
💵 Service Charge: TSh 30,000/=
📞 Kwa mawasiliano:
☎️ +255 688 412 890 (Call/WhatsApp)
🔥 Miliki nyumba ya kisasa katika eneo bora la Tabata Chang’ombe Mwisho lenye miundombinu mizuri na linalokua kwa kasi. Wahi sasa!















