Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Uzunguni, Tanga (600 sqm)

video thumbnail
Sh. 155,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Ukubwa

600 SQM

Huduma na Sifa

Parking Space
Fence ya Umeme
Sebule
Jiko
Dining
Stoo

Maelezo

NYUMBA YENYE HATI, VYUMBA 4,TSHS.155 MILIONI,UZUNGUNI,TANGA MJINI.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.600
Umilikini HATI (Title Deed) ya Wizara.

Ni nyumba nzuri,
YAKISASA NA ya KUHAMIA.

Vyumba 4 vya kulala ( 2 Vyoo ndani)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani

Parking ipo ya kutosha.
Kwa Usalama wako na Mali zako kuna Mfumo wa Ulinzi wa Uzio wa Umeme (Electric Fence)

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________zw