Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Chamaz, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 150,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

5

Ukubwa

500 SQM

Huduma na Sifa

Maji
Umeme
Luku Inajitegemea
Sebule
Dining
Jiko

Maelezo

Mbagala chamaz kwa mkongo jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya hii si ya kuikosa kabisa ina uzwa bei nzuri sana tsh mil 150 tu
Nyumba kubwa na boycott ya vyumba viwili vya kulala kimoja ni master bedroom

Nyumba kubwa Ina vyumba 3 vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet ina maji na umeme upo wa luku
Eneo kubwa square mitar 500 ina documents ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa ๐Ÿฌ

Contact
0625584914