Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Gongo la Mboto Majohe (Viwege kwa Mpemba), Dar Es Salaam (260 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 23,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

5

Ukubwa

260 SQM

Huduma na Sifa

Tiles
Gypsum
Maji
Umeme
Jiko
Karibu na Stendi ya Mabasi

Maelezo

..INATOKEA MARA CHACHE..
Nyumba inauzwa gongo la mboto majohe (viwege kwa mpemba) wilaya ya ilala Dar

👉BEI MILION 23 (usiogope)

0759128747 0624436503
0712058357 whatsapp

Vyumba v5 kimoja masta
jiko
Tailz jipsam maji umeme
❌Gari inaishia nyumba ya pili (HAIFIKI)❌ ila kuna kiwanja kwa mbele kinauzwa ukinunua gari inafika
Kwa sasa Eneo sqm 260 (makadilio)
Unatembea tu had stend
Whatsap au piga

Tafuta unachotaka Gongo La Mboto, Ilala, Dar Es Salaam