Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
1000 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ CLASSIC HOUSE INAUZWA β KIGAMBONI, KIBADA π‘
Je, unatafuta nyumba ya kifahari yenye nafasi kubwa na fursa nyingi za uwekezaji? Hii ndiyo chaguo sahihi!
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 5 vya kulala, vyote Master
β
Sebule kubwa
β
Dining room
β
Jiko la kisasa
β
Eneo la SQM 1,000
β
Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Umiliki
π Mahali: Kigamboni β Kibada
* Mita 200 tu kutoka barabara ya lami
* Kilomita 6 kutoka Ferry
* Kilomita 5 kutoka Daraja la Mwalimu Julius Nyerere
π Nyumba ipo katika mtaa mzuri wenye mazingira safi na salama. Inafaa kwa:
βοΈ Makazi ya kifahari
βοΈ Airbnb
βοΈ House Party Venue
βοΈ Boutique Hotel
βοΈ Uwekezaji wenye faida
π° Bei: TZS Milioni 600
π€ Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
π 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateinvestment #realestateagent #tanzania















