Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Fancity, Dar Es Salaam (700 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA โ KIGAMBONI FANCITY ๐ก
โ
Vyumba 5 vya kulala
โ
Vyumba 2 Master
โ
Sebule kubwa na eneo la dining
โ
Jiko la ndani la kisasa
โ
Boys Quarter yenye:
โข Vyumba 2 Master
โข Jiko la nje
โข Choo cha nje
๐ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 700
๐ Hati ya Wizara
๐ฐ Bei: Milioni 180 (Mazungumzo yapo)
๐ Umbali
โข Kilomita 1 kutoka barabara kuu
โข Kilomita 12 kutoka Ferry
โข Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
๐ Fursa nzuri kwa makazi ya familia au uwekezaji katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni Fancity.
๐ Wasiliana: 0769 554 221
#trendingvideo #istagram #realestateforsale #tanzania๐น๐ฟ #trendingsongs















