Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mbweni Malindi, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Maelezo
๐ก NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA โMBWENI TZ๐ด
โจ Nyumba ya kisasa na ya kifahari iliyopo eneo la Mbweni malindi.
๐น Vyumba 5 vya kulala, vyote Master Bedroom
๐น Sebule kubwa na sehemu ya kulia chakula
๐น Jiko la kisasa lenye nafasi kubwa
๐น Swimming Pool
๐น Servant Quarter (SQ)
๐น Maegesho makubwa ya magari
๐น Bustani nzuri na mazingira tulivu
๐น Muonekano wa kisasa wa kiwango cha juu
๐ฐ Bei: USD 850,000$
SQM 1000
๐ Mahali: Mbweni malindi
Ni nyumba inayofaa kwa makazi ya kifahari au uwekezaji wa thamani kubwa.
๐ Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea nyumba hii ya kipekee.
@makaziboratz Au @dalalimbezibeach1tz
0654929655
Au
0785008204 WhatsApp/Call















