Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kigamboni Kibada, Dar Es Salaam (2500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
6
Ukubwa
2500 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Maelezo
🏡 NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA – KIGAMBONI KIBADA ✨ Nyumba nzuri sana ya kisasa yenye hadhi ya juu inapatikana Kigamboni Kibada. 🔹 Vyumba 6 🔹 Vyumba 4 Master 🔹 Sebule kubwa 🔹 Dining 🔹 Jiko la kisasa 🔹 Mfumo wa “Golf” na mazingira mazuri sana 🔹 Eneo SQM 2,500 🔹 Umbali wa mita 200 tu kutoka barabara kuu ya lami 💼 Inafaa kwa: ✔️ Wawekezaji wa Airbnb/BNB ✔️ Hotel & Lodge ✔️ Makazi ya kifahari 📄 Hati Miliki Kamili 💰 Bei: Bilioni 1.2 (Maongezi yapo) 📞 0769554221 #trendingvideo #istagram #tanzania #realestateforsale #trendingaudio















