Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
6
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA β KIGAMBONI KISOTA (USHUWANI) β π Location: Kigamboni Kisota, mtaa mzuri sana πΆββοΈ Mwendo wa mita 500 kutoka barabara ya zamani πΉ Maelezo ya Nyumba: βοΈ Nyumba ya ghorofa βοΈ Vyumba 6 vya kulala βοΈ Vyumba 4 master (vina choo ndani) βοΈ Sebule βοΈ Dining βοΈ Jiko βοΈ Nyumba mpya (brand new) βοΈ Aluminium βοΈ Tiles βοΈ Imezungushiwa fence βοΈ Imejengwa kwa standard ya hali ya juu πΈ Hali ya Nyumba: Nyumba haijamaliziwa finishing ndogo, lakini ukilipa au ukimaliza makubaliano ya kibiashara, unakabidhiwa nyumba yako ikiwa imekamilika kabisa kwa makaratasi. π° Bei: TZS 500,000,000 π€ Majadiliano yapo (msiri) π Service charge: TZS 30,000 π Call/WhatsApp: +255614130017 #dalali #dalalikigamboni #dalaliviwanja #plotsforsale #kigambonikissota nyumbainauzwa realestatetanzania chatgpthousesforrent googlebesthouseforren















