Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Kivule Sokoni, Dar Es Salaam (430 sqm)

video thumbnail
Sh. 42,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

8

Ukubwa

430 SQM

Huduma na Sifa

Karibu na Stendi ya Mabasi
Karibu na Soko

Maelezo

NYUMBA MBILI PAMOJA, TSHS.42 MILIONI,KIVULE SOKONI.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.430.
Umiliki MKATABA WA MAUZIANO.

Jumla kuna vyumba vya kulala 8.
Kuna nyumba yenye vyumba 5.
Na yenye vyumba 3.

Eneo ni jirani na Kituo cha Daladala na ni Gari moja kufika Mjini.

WAHI HII ITAKUFAA SANA.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________mskv