Nyumba ya vyumba 9 inauzwa Mikocheni B, Dar Es Salaam (1780 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
9
Ukubwa
1780 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Maelezo
Eneo Linauzwa pamoja na nyumba ya golofo tatu.
Kila floor Ina vyumba 3 vya kulala kimoja master Ina jiko daining na Sebule.
Mahali Eneo lilipo ni Mikocheni B kwa Mwl Nyerere.
Umbali kutoka pale kwa mwl Nyerere mpka nyumba ilipo ni meters 200.
Ukubwa wa Eneo ni square meters 1780.
Pana hati ya widhara.
Bei yake ni dollar milion 1.5
Contact 0712531657
0789731695















