Apartment inauzwa Kinondoni, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Apartment
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Apartments Sita Zinauzwa
Mahali: Kinondoni
Bei: Milioni 300
☑️Eneo: Sqm400
☑️Umiliki: Hati Ya Wizara✅
Mmiliki Ni Mmoja
☑️Sifa: Zipo Nyumba 6 Na Zote Zina Wapangaji. Zinaingiza Zaidi Ya Milioni 50 Kwa Mwaka
☑️Karibu Sana Na Lami.
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate.
Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea)
Call & Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#MasterRealEstate #MasterMijengo #DalaliMasterTz #WhereLuxuryMeetsLifestyle







