Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam








Huduma na Sifa
Maelezo
🇹🇿 #APARTMENT NZURI SANA YA KISASA INAPANGISHWA - KIMARA KOROGWE
📍 Kimara korogwe
🕒 Umbali kutoka standi ya mwendo kasi dakika 8 kwa mguu, usafiri wa boda boda Tsh 1,000 tu.
#SIFA ZA NYUMBA
🔹 Chumba kimoja Master
🔹 Sebule kubwa
❌ Hakuna jiko
🔹 Umeme unajitegemea
🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7hrs
🔹 Fensi ipo & Parking hamna
👉 Ndugu mteja nyumba inakuwa wazi tarehe 05/07/2026 kuona ndani na kufanya malipo luksa kabisa
GHARAMA
🔸Kodi: Tsh 180,000/= × 6 (Miezi sita)
🔸Malipo ya Dalali : Tsh 180,000/=
🔸Service Charge: Tsh 15,000/=
📞 Piga simu:
0713661530_0783661530















