Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam

Aina
Apartment
Vyumba
1
Bafu
1
Huduma na Sifa
Maelezo
π APARTMENT INAPANGISHWA β MBEZI BEACH
π Location: Mbezi Beach (Upande wa Chini), Dar es Salaam
π° Kodi: TSH 700,000 kwa mwezi
π Malipo: Miezi 6
β¨ Apartment mpya ya kisasa (self-contained)
Inajumuisha:
β’ Chumba 1 cha kulala (kina AC na kabati)
β’ Sebule nzuri
β’ Jiko lenye makabati na heater
β’ Choo na bafu
πΉ Gypsum ceiling
πΉ Tiles za kisasa
πΉ Madirisha ya sliding
πΉ Umeme wa LUKU (meter yake)
πΉ Maji ya bomba (yanapatikana masaa 24)
πΉ Maegesho ya magari yapo
πΉ Eneo limezungushiwa fence + garden nzuri
πΉ Paving blocks
π Wahi sasa: 0746178918















