Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Malamba, Dar Es Salaam

Mbezi, Ubungo, Dar Es Salaam
8 days ago
Sh. 120,000 per month
Aina
Apartment
Vyumba
1
Huduma na Sifa
Luku Inajitegemea
Umeme
Uzio
Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Barabara
Mpya
Maelezo
#Repost dalali_tabata_kinyerezi_tz
Chumba master mpya inapangishwa bei 120000 kwa mwezi kodi kianzia mwezi 5 hadi 6, umeme unajitegemea meter yako mwenyewe, pia fence hipo, kutoka kituoni dakika 00-00 yani nyumba inatazama lami, Location mbezi malamba dar es salaam
Call/Whatsapp
0679 997610
Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii
