Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo kibo, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 400,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

1

Huduma na Sifa

Parking Space
AirBnb
Air Conditioning
Intaneti
Full A C
Free Wi- Fi

Maelezo

APARTMENT MPYA NZURI YA KISASA INAPANGISHWA. Ipo Ubungo kibo dakika 6 kwamguu kutoka stend ya mwendokasi. Ni chumba kimoja master na sebure na jiko. Full AC na Free Wi-Fi. Parking ipo na Barabara ni nzuri kwa aina zote za magari. Kodi Tsh. 400,000 kwa mwezi. Service charge elfu 15. Ukilipia nyumba ni kodi ya mwezi mmoja malipo ya dalali.

Kuona nyumba elfu 20

Utamlipa Dalali kodi yamwezi mmoja ukilipia nyumba

Call
0713 320 608
0686 334 182