Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo Kibo, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 500,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

1

Bafu

1

Huduma na Sifa

Air Conditioning
Gym
Intaneti
Maji
Bustani
Luku Inajitegemea

Maelezo

#Apartments zinapangishwa UBUNGO KIBO
๐Ÿ“ Imebakia Moja tu

๐Ÿ“ Kodi Tsh. 500,000/= *3 (miezi hata mitatu tu)
______
_________
๐Ÿ“ Gym
๐Ÿ“ Mashine ya kufulia ipo
๐Ÿ“ Wi-Fi
๐Ÿ“ A/c
______
___
* Jiko
* Sebule
* Chumba Master

* Zinajitegemea UMEME
* Mlinzi yupo 24Hrs
* Mtu wa Usafi yupo
* Mtu wa Garden yupo
* Maji BURE, Usafi BURE, Ulinzi BURE, usafi BURE

๐Ÿšจ ZINGATIA:
1. Kodi inambatana na hela ya tahadhari (inarudishwa unavyohama)
2. Malipo ya Dalali ni hela ya mwezi mmoja
3. Kupelekwa kuona 20,000/=

Kwa maelezo zaidi piga :--

0712528820
0685221354