Apartment ya vyumba 9 inauzwa Kigamboni, Fani City, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Apartment
Vyumba
9
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
π’ APARTMENTI ZA BIASHARA ZINAUZWA β KIGAMBONI, FANI CITY π’
Fursa adimu ya kuwekeza kwenye biashara ya nyumba za kupanga! Apartmenti hizi tayari zimekamilika na ziko tayari kuanza kukuletea mapato mara moja.
β¨ Muundo wa Apartmenti:
β
Jumla ya apartmenti 4
β
Apartmenti 3 zenye vyumba 2, sebule na jiko
β
Apartmenti 1 yenye vyumba 3 (kimoja Master), sebule na jiko
π‘ Sifa za Kiwanja na Miundombinu:
βοΈ Eneo takribani SQM 800
βοΈ Full paving
βοΈ Kisima cha maji
βοΈ Umeme na wiring zimekamilika
βοΈ Milango, madirisha na vioo vyote vimefungwa
βοΈ Tayari kwa kuingiza wapangaji β hakuna gharama za ukarabati
π Mahali: Fani City, Kigamboni
β’ Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
β’ Kilomita 12 kutoka Feri
β’ Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere
π Umiliki: Hati ya Serikali ya Mtaa.
π° Bei: TZS Milioni 165
Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
π 0769554221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #realestateagent #tanzania nia















