Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 350,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Bafu

1

Barabara ya Karibu

1km

Huduma na Sifa

Parking Space
Uzio
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Maji
Sebule

Maelezo

🇹🇿 #APARTMENT NZURI SANA NA SAFI INAPANGISHWA – KIMARA KOROGWE

📍 Location: Kimara Korogwe
1km umbali kutoka stand ya mwendo kasi kwa mguu dakika 10_12 tu bodaboda 1000 tu mpaka getini.

🏡 SIFA ZA NYUMBA.
🔸 Vyumba 2 vya kulala (kimoja Master Bedroom)
🔸 Sebule kubwa na nzuri.
🔸 Jiko la kisasa.
🔸 Public toilet ya ndani.
🔸 Umeme na maji vinajitegemea.
🔸 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7hrs.
🔸 Fenced compound yenye car parking kubwa sana.

GHARAMA
🔹 Kodi: Tsh 350,000 × 6 (Miezi sita)
🔹 Malipo ya dalali: Tsh 350,000
🔹 Service charge: Tsh 20,000
👉 Gharama ya mlinzi kwa mwezi: Tsh 25,000 (kwa ajili ya usalama wa eneo)

0679 997610