Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Kifuru, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment nzuri sana inapangishwa bei 350000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, hii apartment ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, jiko, public toilet, umeme na maji unajitegemea, parking kubwa, reserve water tank, kutoka kituoni dakika 6 hadi 8 kwa mguu, Location tabata kinyerezi kifuru opposite na soweto dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii















