Tafuta
-
-

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Shule, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 600,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Bafu

1

Barabara ya Karibu

4minute

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Maji
Parking Space
(Fence) Ukuta
Umeme
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea

Maelezo

Apartment nzuri sana inapangishwa bei 600000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6. Ina nyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo self contained. Sebule kubwa. Jiko na public toilet. Umeme na maji unajitegemea. Parking bubwa. Peving block zitawekwa sio muda. Apartment hizi zipo ndani ya fence. Reserve water tank. Kutoka kituoni dakika 4 hivi. Located tabata shule dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii