Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam

Maelezo
🏡 2-Bedroom Apartment for Rent – TZS 900,000 📌
✨ Furahia maisha mazuri Ubungo katika apartment yenye huduma za kipekee! ✨
📌 Maelezo ya Nyumba:
✅ Vyumba 2 (1 Master)
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko zuri lenye makabati
✅ Public Toilet
✅ Makabati ya nguo
📍 Mahali:
📌 Ubungo (Nyumba ipo karibu na barabarani )
Huduma Nyingine:
✔ Parking inapatikana
✔ Full AC
✔ Heater available
💰 Masharti ya Malipo:
📌 Kodi: TZS 900,000 kwa mwezi
📌 Malipo: Miezi 6
📌Security deposit one month
💰 Gharama Nyingine:
🔹 Service charge: TZS 20,000 (inalipwa mara moja tu)
🔹 Gharama ya udalali: Kodi ya mwezi mmoja
📞 Kwa mawasiliano zaidi:
📲 Piga #0742260844_0657384670















