Apartment ya vyumba viwili inauzwa Mbezi Makabe, Dar Es Salaam (400 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก APARTMENTS 2 ZINAUZWA โ MBEZI MAKABE, DAR ES SALAAM ๐น๐ฟ
๐ฐ Bei: Milioni 70 tu
๐ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 400
โจ Sifa za Nyumba:
โ
Apartments 2 ndani ya fensi
โ
Kila apartment ina:
โข Vyumba 2 vya kulala (1 Master Bedroom)
โข Sebule
โข Dining Room
โข Jiko
โข Public Toilet
๐จ Zimepauliwa tayari, zinahitaji finishing tu kulingana na ladha yako.
๐ต Fursa ya Uwekezaji:
Ukikamilisha finishing kwa ubora, unaweza kupanga kwa wastani wa Tsh 500,000/= kwa mwezi kwa kila apartment, sawa na zaidi ya Tsh 1,000,000/= kwa mwezi kwa apartments zote mbili.
๐ Eneo zuri na lenye maendeleo, linafaa kwa makazi au uwekezaji wa kupangisha.
๐ Kwa maelezo zaidi na utaratibu wa kuangalia nyumba, wasiliana na:
+255 688 412 890
๐ฅ Dalali wako Wakishua ๐ฅ















