Viwanja vya Pwani vinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 30,000 per sqm

Aina

Beach Plot

Barabara ya Karibu

200m

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara
Karibu na Bichi

Maelezo

๐ŸŒŠ Miliki Kiwanja Karibu na Bahari โ€“ Kimbiji Kigamboni! ๐Ÿ๏ธ
Fursa imefika kwa wale wanaotaka kuwekeza sehemu yenye thamani inayokua kila siku.
Tuna mradi mzuri wa viwanja Kimbiji Kigamboni, eneo tulivu, salama na lenye mandhari ya kuvutia karibu na bahari.
๐Ÿ“ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐Ÿ“ Takribani mita 600 kutoka Ocean
๐Ÿ’ฐ Bei ni Tsh 30,000 kwa sqm
โœ… Malipo kuanzia 20% โœ…Na malipo ya kidogo kidogo ndani ya miezi 18
๐Ÿ€Hii ni nafasi ya kujenga kesho yako leo. Maeneo ya Kigamboni yanaendelea kukua kwa kasi โ€“ usisubiri bei zipande ndipo uanze kufikiria.
Chukua hatua sasa, miliki kiwanja chako halali na salama.
Uwekezaji wa ardhi haujawahi kumuacha mtu maskini.
๐Ÿ“ž+255 748 303 601

Wasiliana nasi leo upate nafasi yako kabla havijaisha.
#LandInvestment #KigamboniKimbiji #ViwanjaDar #RealEstateTanzania #InvestSmart OwnYourLand BeachSideInvestment