Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Kitunda Mazizini, Dar Es Salaam (9501 sqm)

video thumbnail
Sh. 800,000,000

Aina

Kiwanja (Commercial Plot)

Ukubwa

9501 SQM

Huduma na Sifa

Uzio
Maji
Hati
Karibu na Uwanja wa Ndege
Chicken Coops
Fish Pond

Maelezo

KIWANJA EKA 2.15 (SQM.9,501) TSHS.800 MILIONI,KITUNDA MAZIZINI.

Hapa ni umbali wa Kilomita 8 tu kutoka
AIRPORT(JKNIA)

Kiwanja kimezunguushiwa Fensi.
Ndani kuna:
●Mabanda ya Kufugia Kuku.
●Bwawa kubwa la Kufugia Samaki (Halitumiki)
●Huduma za Umeme na Maji zipo

Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

Hapa unaweza kufanya Uwekezaji kama:
Ujenzi wa Hospitali,Shule,
Nyumba za Biashara (Apartments)
Hotel,Yard au Kuendeleza Ufugaji wa Kisasa nk.

_________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

__________________zw