Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Tegeta Namaga, Dar Es Salaam (1905 sqm)

video thumbnail
Sh. 500,000,000 per month

Aina

Kiwanja (Commercial Plot)

Ukubwa

1905 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara
Parking Space
Ardhi Tambarare
Joint Venture Opportunity
Suitable For Apartments

Maelezo

πŸ—οΈ ENEO LINAPATIKANA – TEGETA NAMAGA
πŸ”₯ FURSA 3 KWA MPIGO KWA WAWEKEZAJI!

πŸ“ Location: Tegeta Namaga
πŸ“ Ukubwa: 1,905 SQM
✨ Eneo zuri sana kwa biashara au uwekezaji – karibu na barabara kuu, linafikika kirahisi na lina potential kubwa ya maendeleo.

πŸ’Ό CHAGUO 3 ZA UWEKEZAJI

1️⃣ 🏒 Kupangisha (Rent)
πŸ’΅ Bei: TZS 1,500,000 / Month
πŸ“… Malipo: Kuanzia miezi 6
βœ” Inafaa kwa biashara, godown, parking ya magari, au matumizi mengine ya kibiashara

2️⃣ 🀝 Joint Venture (Ubia)
πŸ—οΈ Mwenye eneo yuko tayari kushirikiana na mwekezaji kujenga apartments
🏒 Unaweza kujenga hadi apartments zaidi ya 10
πŸ“Š Mgawanyo (Makubaliano):
β€’ Mwenye eneo: Apartments 5
β€’ Mwekezaji: Apartments 5

πŸ”₯ Fursa nzuri kwa wanaotaka kuingia real estate bila kununua ardhi!

3️⃣ 🏑 Kuuza (For Sale)
πŸ’° Bei: TZS 500,000,000 (Mazungumzo yapo)
βœ” Nunua eneo lote na uwe mmiliki kamili

πŸ“„ SIFA ZA ENEO

πŸ“ Karibu sana na barabara kuu
πŸ—οΈ Linafaa kwa apartments, biashara au uwekezaji
πŸ“ Ukubwa mkubwa (1,905 sqm)
🌿 Mazingira mazuri na barabara pana
πŸ“œ Lina Hati Miliki (Title Deed)

πŸ“ž WASILIANE SASA
πŸ“± Call / WhatsApp: +255 744 701 813

✨ Opportunity kubwa kwa wawekezaji wanaotaka kufanya smart move kwenye real estate.

#ViwanjaVinauzwa #Tegeta #DarEsSalaam #RealEstateTanzania #Uwekezaji LandForSale PropertyInvestment