Duka linapangishwa Kijitonyama, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
π’ FREM KUBWA INAPANGISHWA β KIJITONYAMA π’
π° Bei: TZS 1,500,000/= kwa mwezi
Unatafuta eneo bora la biashara? Hii ni fursa ya kipekee!
β
Frem kubwa sana
β
Inatazama barabara ya lami
β
Ipo sehemu nzuri na yenye mvuto mkubwa wa kibiashara
β
Muonekano mzuri unaovutia wateja
β
Inafaa kwa biashara mbalimbali kama ofisi, showroom, saluni, duka na biashara nyingine nyingi
π΅ Service Charge: TZS 30,000/=
π Call: 0787093748
Wahi sasa kabla nafasi hii adimu haijachukuliwa!
Karibu kwa maelezo zaidi na kupanga muda wa kuiona.















