Duka linapangishwa Sinza, Dar Es Salaam
Sinza, Dar Es Salaam
1 hour ago
Sh. 350,000/month
Huduma na Sifa
Service Charge
Maelezo
📢 FREM INAPANGISHWA – SINZA 📢
Frem nzuri inapangishwa Sinza kwa bei ya TSH 350,000/= kwa mwezi.
✅ Ipo kwenye mtaa mzuri sana
✅ Inafaa kwa biashara yoyote
✅ Biashara zote zinaruhusiwa
✅ Eneo lina mazingira mazuri kwa biashara
💰 Bei: TSH 350,000/= kwa mwezi
💰 Service Charge: TSH 30,000/=
📞 Kwa mawasiliano zaidi piga:















