Duka linapangishwa Sinza, Dar Es Salaam
Sinza, Dar Es Salaam
5 hours ago
Sh. 400,000/month
Huduma na Sifa
Karibu na Barabara ya Lami
Service Charge30000
Maelezo
🔥 FREM INAPANGISHWA – SINZA 🔥
Frem nzuri sana inapangishwa maeneo ya Sinza kwa bei ya Tsh 400,000/= tu kwa mwezi. Ipo sehemu nzuri sana ya biashara na inatizama lami moja kwa moja 🚶♂️🚗
✔️ Inafaa kwa biashara mbalimbali
✔️ Eneo lenye watu wengi na biashara kuchangamka
✔️ Panafikika kwa urahisi muda wowote
💰 Bei: 400,000/= kwa mwezi
🧾 Service Charge: 30,000/=
📞 Call: 0787093748















