Duka linauzwa Sinza, Dar Es Salaam

Sinza, Ubungo, Dar Es Salaam
2 days ago
Sh. 2,500,000 per month
Aina
Duka
Samani
Ndiyo
Maelezo
🔥 FURSA YA BIASHARA – SINZA! 🔥
Duka linauzwa kwa bei ya 2.5M tu! 💰
Unanunua na kuachiwa kila kitu kilichopo ndani – unaanza biashara papo hapo bila usumbufu!
📍 Bei ya frem: 200,000/- kwa mwezi
📌 Ipo sehemu nzuri sana ya biashara yenye wateja wa uhakika
💼 Inafaa kwa biashara mbalimbali – chukua nafasi hii mapema!
⚠️ Service charge: 30,000/-
📞 Call: 0787093748
