Shamba linauzwa Mwasonga, Kigamboni, Dar Es Salaam acre 9

Ukubwa
9 ACRE
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ฟ SHAMBA KUBWA LINAUZWA โ KIGAMBONI MWASONGA, DAR ES SALAAM ๐ฟ
Unatafuta eneo kubwa kwa ajili ya kilimo, ufugaji au kuendeleza mradi wa viwanja? Hili ndilo chaguo sahihi!
๐ Mahali: Mwasonga, Kigamboni โ Dar es Salaam
๐พ Ukubwa: Ekari 9
๐ฐ Bei: Milioni 23 kwa kila ekari (mazungumzo yapo)
โ
Umeme upo site
โ
Barabara inafikika mwaka mzima, hata kipindi cha mvua
โ
Eneo tambarare na linafaa kwa kilimo, ufugaji na uwekezaji wa kugawa viwanja
โ
Mazingira yanaendelea kukua kwa kasi na yana fursa kubwa za maendeleo. (Prime Ministerโs Office)
๐ Wasiliana nasi leo kupata taarifa zaidi na kupanga kwenda kuliona eneo.
๐ผ Service Charge: TZS 30,000
๐ฒ Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni




