Mashamba yanauzwa Mpakani-mwa Morogoro na Njombe
Huduma na Sifa
Maelezo
MASHAMBA YA KUMWAGILIA,TZS.400,000/EKA,MOROGORO.
Mpakani-mwa MOROGORO na NJOMBE.
Mashamba yapo pembezoni kwa Mto usiokauka mwaka mzima.
Ardhi inazalisha mazao mengi,
Majirani wanalima:
●Karafuu
●Cocoa
●Iliki na
●Parachichi.
Dunia ni yako hapa.
UMILIKI NI MKATABA WA MAUZIANO.
Wahi ujitwalie eneo kulingana na Uwezo wako.
Ardhi ni Mali inayoongezeka thamani kila uchao,
Unasubiri nini kumiliki?
__________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kupelekwa kuona na kuchagua ni Tshs.200,000,
HIYO NI NJE YA NAULI YA DALALI.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
__________________mpg















