Tafuta

Mashamba yanauzwa Mpakani-mwa Morogoro na Njombe

Sh. 400,000/acre

Maelezo

MASHAMBA YA KUMWAGILIA,TZS.400,000/EKA,MOROGORO.

Mpakani-mwa MOROGORO na NJOMBE.
Mashamba yapo pembezoni kwa Mto usiokauka mwaka mzima.

Ardhi inazalisha mazao mengi,
Majirani wanalima:
●Karafuu
●Cocoa
●Iliki na
●Parachichi.

Dunia ni yako hapa.

UMILIKI NI MKATABA WA MAUZIANO.

Wahi ujitwalie eneo kulingana na Uwezo wako.
Ardhi ni Mali inayoongezeka thamani kila uchao,
Unasubiri nini kumiliki?

__________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kupelekwa kuona na kuchagua ni Tshs.200,000,
HIYO NI NJE YA NAULI YA DALALI.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

__________________mpg