Frame inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 600,000 per month

Aina

Nafasi ya Biashara

Maelezo

🏢 FREM INAPANGISHWA – SINZA 🏢

Unatafuta eneo zuri la biashara? Hii hapa nafasi yako!

✨ Frem nzuri sana ipo Sinza, eneo lenye muonekano mzuri na lenye wateja wa uhakika
✨ Inafaa kwa biashara mbalimbali (duka, ofisi, salon, n.k)
✨ Ipo sehemu nzuri sana ya biashara – fursa ya kukuza kipato chako

💰 Bei: 600,000/= kwa mwezi
🔧 Service Charge: 30,000/=

📞 Call: 0787093748

Usikose nafasi hii – wasiliana sasa kabla haijachukuliwa! 🚀