Frame inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Sinza, Ubungo, Dar Es Salaam
15 hours ago
Sh. 400,000 per month
Aina
Nafasi ya Biashara
Huduma na Sifa
Karibu na Barabara
Maelezo
FREM INAPANGISHWA – SINZA SHEKILANGO 🔥
Unatafuta sehemu kali ya biashara? Hii hapa!
📍 Ipo Sinza, inatazama Shekilango Road – mwonekano wa moja kwa moja kwa wateja💰 Bei: 400,000/= kwa mwezi✨ Frem kali sana, eneo la biashara lenye mzunguko mkubwa wa watu🧾 Service Charge: 30,000/=
Inafaa kwa biashara yoyote kama duka, ofisi, salon, au huduma nyingine.
📞 Wahi kuwasiliana: 0787093748
