Frame ya Biashara inapangishwa Kijitonyama, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 FREM KUBWA INAPANGISHWA – KIJITONYAMA 🔥
📍 Kijitonyama
💰 Bei: 450,000/= kwa mwezi
🏢 Frem kubwa sana na yenye nafasi ya kutosha
✨ Ipo sehemu nzuri sana ya biashara yenye mzunguko mzuri wa watu
📌 Inafaa biashara mbalimbali kama duka, ofisi, salon na nyinginezo
🧾 Service Charge: 30,000/=
📞 Call: 0787093748















