Frame ya Biashara inapangishwa Kinondoni, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
📍FREM INAPANGISHWA – KINONDONI📍
Frem kubwa kabisa inapangishwa maeneo ya Kinondoni kwa bei ya 1,500,000/= tu kwa mwezi.
Ipo sehemu nzuri sana yenye mazingira bora ya biashara na movement ya kutosha. Inafaa kwa biashara yoyote au office.
✅ Frem kubwa na yenye nafasi ya kutosha
✅ Eneo zuri la kibiashara
✅ Biashara yoyote inaruhusiwa
✅ Mazingira mazuri na rahisi kufikika
💰 Bei: 1,500,000/=
🧾 Service Charge: 30,000/=
📞 Call: 0787093748















