Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 400,000/month

Maelezo

šŸ”„ FREM INAPANGISHWA – SINZA šŸ”„

Bei: 400,000/= kwa mwezi
Service Charge: 30,000/= tu

Frem nzuri sana ipo Sinza kwenye mazingira bora ya biashara šŸ‘
Inafaa kwa biashara yeyote na eneo lina muonekano mzuri pamoja na movement ya uhakika kwa wateja.

āœ… Sehemu nzuri ya biashara
āœ… Inafaa duka, office, salon na biashara nyingine nyingi
āœ… Panafikika kwa urahisi

Wahi sasa nafasi ni chache! šŸ”‘

šŸ“ž Call: 0787093748