Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Sinza, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 400,000/month
Maelezo
FREM INAPANGISHWA 📢
📍SINZA
📌Bei: TZS 400,000/= kwa mwezi
📌 Frem kali sana inapatikana Sinza!
📌 Ipo sehemu nzuri sana ya biashara
📌Mazingira yenye movement ya kutosha
📌 Inafaa kwa biashara yoyote
📌 Muonekano mzuri na mazingira rafiki kwa wateja
📌Fursa nzuri kwa wanaotafuta eneo la biashara lenye mvuto
📌 Service Charge: TZS 30,000/=
☎️Call: 0635255871
#realestate
#househunting
#houseforrent
#daressalaam🇹🇿















