Frame ya Biashara inapangishwa Sinza Madukani, Dar Es Salaam

Maelezo
📢 Fremu/Ofisi Inapangishwa – Sinza Madukani
💰 Kodi: TZS 2,000,000 kwa mwezi
✅ Eneo la biashara lenye mzunguko mkubwa wa watu
✅ Inafaa kwa ofisi, showroom, duka au biashara mbalimbali
✅ Mazingira mazuri na rahisi kufikika
✅ Nafasi kubwa na yenye mwonekano mzuri wa biashara
🔥 Wahi kuichukua kabla haijapangishwa!
📞 Wasiliana: 0678512666
#SinzaMadukani #OfficeSpaceForRent #FrameForRent #Biashara #DarEsSalaam ShopForRent















