Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Tabata Kimyerezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
Sh. 500,000/month

Maelezo

Hapa kuna fremu za bei tofauti tofauti bei ya sh 500k, 600k, 800k, 2 milion, kodi kuanzia miezi 12 yani mwaka mmoja hivi, hizi fremu zipo maeneo ya tabata kimyerezi dar es salaam

Sifa ya hizi fremu za kibiashara kila fremu ina choo chake

Sifa nyingine ya hizi fremu ni kubwa sana na zipo sehemu nzuri sana kuna mzunguko wa kibiashara

Service charge tsh 30000
Au malipo ya dalali