Hoteli inauzwa Ukonga, Dar Es Salaam (400 sqm)

Ukonga, Ilala, Dar Es Salaam
27 days ago
Sh. 850,000,000
Vyumba
10
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Hati
Karibu na Barabara
Karibu na Barabara ya Lami
Bar
Two Counters
Maelezo
LODGE NA BAR BARABARA KUU,TSHS.850 MILIONI, UKONGA.
Jengo lipo Kibiashara,
Linajiuza, Linavutia na linaiangalia Barabara ya PUGU.
Lodge ina jumla ya Vyumba 10 vya kulala (Vyote Masta)
KAUNTA zipo Mbili, JUU NA CHINI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
HATI (Title Deed) ya Wizara ipo.
Hapa unanunua na Kurekebosha vitu vichache tu na unaanza Kazi kwa Jina lako la Biashara.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mpg
