Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 300,000

Aina

Nyumba

Maelezo

Apartment nzuri ya kisasaInapangishwa Mahali: Kimara Mwisho

Bei: 300,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6

Pikipiki 1000 Mpaka Mlangoni. Barabara Ni Rafiki

☑️Master Sebule Jiko
☑️Pia Kuna Choo (Public)

☑️Fensi Ya Umeme & Parking
☑️Umeme Na Maji Mita Yako
☑️Reserve Tank & Dawasa Maji 24/7

Inakua wazi tarehe 30/01 kuona na kulipia ruksa kabisa ndugu mteja

: Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏

Service charge ni shilingi 15,000

Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja

Contact:
0654101710
0787205300