Nyumba inapangishwa Tabata, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 150,000 per month

Aina

Nyumba

Maelezo

Chumba master kubwa na jiko inapangishwa bei 150000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, no fenced lakini usalama wa kutosha, kutoka kituoni dakika 2 hadi 3 hivi, Location tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 15000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii